Thursday, 19 June 2014

BAADA YA MUSIC, HII BIDHAA NYINGINE KUTOKA KWA MIKE TEE



Mbali na kufanya Muziki Mike Tee nimeamua kujiingiza kwenye Mavazi, Kiafrika Zaidi 
kama utapendezewa only for 20,000 tshs utapata T-Shirt uipendayo

Ukiipenda aina mojawapo kati ya hizo

Nitumie Information zifuatazo ili upate T-Shirt yako
1. Jina
2. Sehemu uliopo,
    Ili iwe rahisi kwa watu wa Dar kuletewa mzigo sehemu uliopo, watu wa Mikoani gharama za usafirishaji utatozwa
3. Namba ya simu
4. Size ya T-Shirt
5. Rangi
6. Aina kwenye picture

Twitter @Mike_Tee
Instagram @Mnyalu1
Hulkshare Mnyalu1
+255 754 310 202

No comments: