Thank you for taking your time to find out more about the blog. This blog is your number one event, sports, advertisement and entertainment news. Welcome to an Entertainment revolution. Advertisement gate way and promotion as well, STAY ON IT ENJOY CALL / SMS +255 686 123425 for more information and any blog assistance
Friday, 19 October 2012
YANGA YASHINDA KAMPENI YAKE NA VODACOM KUHUSU KUVAA JEZI NYEKUNDU, SASA WAPEWA RANGI WANAYOTAKA
Vodacom imefikia hatua hiyo kutokana na Yanga kupeleka maombi yao ya kuomba kutotumia nembo hiyo nyekundu katika jezi zao, vodacom imeona ni busara kuwasikiliza Yanga hivyo kuamua kuipa nafasi ya kuchagua nembo moja kati ya hizo tatu hapo juu, klabu ya Yanga imawahakikishia washabiki wake kuwa hawatakubali kutumia rangi yeyote nyekundu katika jezi zao au kitu chochote kitakachokuwa kikitumiwa na klabu iyo kwa ni DHAMBI kwao, Kampuni ya Vodacom imetoa nembo tatu tofauti ili kuweza kuwaruhusu yangu kutumia moja ya nembo watakayokuwa wamapendezewa nayo,
An Entertainer and the Owner of 60Entertainment who is near by to present TV program on local TV, Current am working with One of the Biggest company
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment