Dar es salam Young Africans wameukaribia ubingwa wa Ligi kuu ya soka ya Tanzania bara inayodhaminiwa na Vodacom Tz Ltd baada ya kuondoka na pointi kwenye mchezo dhidi ya timu ya Jkt Oljoro toka Arusha kwa mabao matatu bila (3-0).
Ushindi huo wa Yanga ulipatikana baada ya mabao ya mshambuliaji wa Uganda Hamis Kiiza ‘Diego’ , kiungo wa Taifa Stars Frank Damayo na winga ambaye pia aliwahi kuwa Dancer wa THT Simon Msuva ambapo ushindi huo unawafanya Yanga wafikishe pointi 51 wakiwa wanaizidi Azam Fc kwa pointi sita huku ikiwa imebaki michezo minne kabla ya ligi kumalizika.
Hii ni mara ya kwanza kwa Yanga kushinda mchezo kwa idadi kubwa ya mabao baada ya kushuhudia timu hiyo ikishinda mechi nyingi kwa idadi ndogo ya magoli hali iliyoonekana kumkera kocha Mdachi Ernst Brandts
Thank you for taking your time to find out more about the blog. This blog is your number one event, sports, advertisement and entertainment news. Welcome to an Entertainment revolution. Advertisement gate way and promotion as well, STAY ON IT ENJOY CALL / SMS +255 686 123425 for more information and any blog assistance
Sunday, 14 April 2013
YANGA BASI TENA, AKUNA KAMA YANGA
An Entertainer and the Owner of 60Entertainment who is near by to present TV program on local TV, Current am working with One of the Biggest company
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment