Hatimaye Rapa Chid Benz leo amefanikiwa kupata dhamana na kutolewa
rumande na kurejea uraiani. Anatakiwa kufika mahakamani Novemba 11
ambapo kesi yake itatajwa tena
HID BENZI alikamatwa wiki iliyopita kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya pamoja na bangi alipokuwa akielekea mbeya kwenye shughuli zake za muziki, tukio hilo lililotokea katika uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere dar es salaam
Thank you for taking your time to find out more about the blog. This blog is your number one event, sports, advertisement and entertainment news. Welcome to an Entertainment revolution. Advertisement gate way and promotion as well, STAY ON IT ENJOY CALL / SMS +255 686 123425 for more information and any blog assistance
Wednesday, 29 October 2014
CHIDI BENZI HATIMAE ACHIWA KWA DHAMANA

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment