Thank you for taking your time to find out more about the blog. This blog is your number one event, sports, advertisement and entertainment news. Welcome to an Entertainment revolution. Advertisement gate way and promotion as well, STAY ON IT ENJOY CALL / SMS +255 686 123425 for more information and any blog assistance
Wednesday, 2 January 2013
SASA WASHABIKI WAMCHOKA DIAMOND MOJA KWA MOJA NA KUAMUA KUMZOMEA NDANI YA MAISHA CLUB
ILIKUWA NDO KWANZA SIKU YA KWANZA KWA MWAKA 2013 NA MSANII WA BONGO FLEVA NASEEB ABDUL A.K.A DIAMOND PLATNUM ALIKUWA NDO MSANII WA KWANZA KUPIGA SHOW KATIKA CLUB IYO NA SHOW YAKE KUINGIA DOSARI BAADA YA WASHABIKI KUOBNESHA HADHARANI KUWA WAMECHOKA NA MFUMO WAKE WA SHOW KWANI AONESHI MABADILIKO YOYOTE MBELE YAO TANGU ALIPOANZA KUPIGA SHOW NA LAWAMA KUBWA ZIKIWADONDOKEA WATOTO WA KARIAKOO AMBAO NDIO MASHUHURI KWA KAZI YA KUSHANGILIA KATIKA SHOW ZA WASANII
DIAMOND ALIANZA KUZOMEWA MARA BAADA YA KUPANDA JUKWAANI NA HALI ILIBADILIKA MUDA UNAVYOZIDI KWENDA MBELE NA KUSABABISHA FUJO KUCHUKUA NAFASI YAKE
An Entertainer and the Owner of 60Entertainment who is near by to present TV program on local TV, Current am working with One of the Biggest company
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment