Kwa msimu wa tisa mfululizo klabu ya FC Barcelona hapo jana usiku ilifikisha jumla ya mabao 100 ya kufunga baada ya kuifunga Real Sociadad mabao 2-0 kwenye mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya kombe la mfalme.
wachezaji 15 tofauti wa timu hiyo wameshirikiana kufunga jumla ya hayo mabao huku,wachezaji 5 kati yao wakiwa tayari wameshafunga zaidi ya mabao 10.
Leo Messi 19, Pedro 16, Alexis 15, Cesc 12 and Neymar Jr 11
Thank you for taking your time to find out more about the blog. This blog is your number one event, sports, advertisement and entertainment news. Welcome to an Entertainment revolution. Advertisement gate way and promotion as well, STAY ON IT ENJOY CALL / SMS +255 686 123425 for more information and any blog assistance
Friday, 7 February 2014
BARCELONA YAENDELEZA REKODI YA KUFUNGA MAGOLI ZAIDI YA 100 NDANI YA MSIMU MMOJA

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment