Muasisi wa kundi maarufu wa muziki wa Bongo Flava aitwaye BARAKA MARTIN
SEKELA aka BK , amefariki alfajili ya leo katika Hospitali ya Muhimbili
ambako alikuwa amelazwa , kwa mujibu wa Hassan Isaack Umande ambaye
amewahi kuwa meneja wa kundi hilo, mwili wa marehemu bado upo
hospitalini hapo na familia ya marehemu inajipanga kwa mazishi. Baadhi
ya Nyimbo aliwahi kuchana ni Ndege Tunduni (verse ya kwanza), Tatu
Bila, kabla ya hizo ni Sitaki Dem Rmx ya Juma Nature, Kwa Maisha
alioshirikishwa na Temba na ktk traki kali inayoitwa Tunavyoishi wakiwa
na Suma Lee na Dollo.Pia marehemu amewahi kurekodi traki zake mwenyewe ,
bado najipanga baadaye nitaeleza zaidi
Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani kwao temeke maeneo ya uwanja wa taifa ambapo alipokuwa anaishi na yalipokuwa makao maku ya kundi la wanaume family kabla ya kuvunjika na kuwa katika pande mbili wanaume family na halisi ambapo BK alikuwa katika upande wa wanaume halisi akiwa na juma nature, katika picha ya hapo juu BK yupo katikati ya mwanadada na D chief au doto,
Thank you for taking your time to find out more about the blog. This blog is your number one event, sports, advertisement and entertainment news. Welcome to an Entertainment revolution. Advertisement gate way and promotion as well, STAY ON IT ENJOY CALL / SMS +255 686 123425 for more information and any blog assistance
Wednesday, 13 February 2013
BREAKING NEWS : RIP BK WA WANAUME FAMILY
An Entertainer and the Owner of 60Entertainment who is near by to present TV program on local TV, Current am working with One of the Biggest company
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment