
Aunty akiweka saini katika cheti cha ndoa
mashisti nao hawakumuacha nyuma
Mkali wa BONGO MOVIE Aunty Ezekiel ambaye kwa sasa amebadili jina kuitwa RAHMA tayari amevunja ukimya kwa kuweka hadharani ndoa yake ikiwa katika uhalali wote na ushahidi wa picha za harusi yake akiwa katika furaha ya kipekee kwani ndo ni jambo jema kwa kila mwanadamu.
MUNGU BARIKI NDOA YA AUNTY 'RAHMA'
No comments:
Post a Comment